Wed. Nov 5th, 2025

Kennedy na Yanga Kwisha Habari Yake, Ila Mwamba Kaondoka na Rekodi za Kutisha

Mshambuliaji wa Young Africans Raia wa Zambia Kennedy Musonda ameondoka Yanga SC Rasmi baada ya mkataba wake kumalizika mwisho wa msimu.

Musonda alijiunga na Young Africans akitokea Power Daynamos ya kwao Zambia πŸ‡ΏπŸ‡² mwaka 2023 ametumu ndani ya Young Africans kwa misimu miwili na nusu (2.5)

Kennedy Musonda Yanga

Musonda amefanikiwa kufunga mabao 34 na kutoa pasi za magoli Assist 13 ndani ya Yanga SC

🚨 Kennedy Musonda leaves Young Africans after the end of his contract.

The Zambian striker departs with an impressive record:

πŸ† 3 League Titles

πŸ† 3 Domestic Cups

πŸ† 2 Community Shields

πŸ₯ˆ CAF Confederation Cup Runner-Up

⚽️ 34 Goals

πŸ…°οΈ 13 Assists

⏱️ 2.5 SeasonsSeasons

All the best Kennedy Musonda

Kennedy Musonda Yanga

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *