Kama Unamtaka ATEBA Basi Uwe na Bilioni 2.5 Mkononi

Kama Unamtaka ATEBA Basi Uwe na Bilioni 2.5 Mkononi

Taarifa zinaeleza kuwa Simba SC ipo tayari kusikiliza ofa yoyote kuanzia USD million 1 sawa na Tsh Billion 2.5 Kwa ajili ya kumuuza mshambuliaji wao Lionel Ateba raia wa Cameroon.

Hii imefichuka baada ya kuwepo na Tetesi kuwa klabu ya Al-Okhdood Club ya nchini Saudi Arabia inaitaka saini ya mchezaji huyo aliyehusika kwenye zaidi ya mabao 8 msimu huu.

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *