Takwimu za Washambuliaji Simba na Yanga Hadi Sasa

Takwimu za Washambuliaji Simba na Yanga Hadi Sasa

Takwimu za washambuliaji wa klabu za Simba na Yanga kwa msimu huu wa Ligi kuu 2024/25 Tanzania Bara hadi hivi sasa;

CLEMENT MZIZE [Yanga]

– Magoli saba [7]

– Pasi za mwisho tatu [3]

– Mchezaji bora wa Mwezi moja [1].

– Mchezaji bora wa Mchezo moja [1].

LEONEL ATEBA [Simba]

– Magoli saba [7].

– Pasi za mwisho mbili [2]

– Mchezaji bora wa mwezi 0

– Mchezaji bora wa Mchezo tatu [3].

PRINCE DUBE [Yanga]

– Magoli 5

– Pasi za mwisho 3

– Mchezaji bora wa mwezi 0

– Mchezaji bora wa mchezo 1

STEVEN MUKWARA [Simba]

– Magoli 4

– Pasi za mwisho 2

– Mchezaji bora wa mwezi 0

– Mchezaji bora wa mchezo 0.

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *