Rasmi Yanga wameachana na mbio za kumsaini Jean-Florent Ikwange Ibengé

Jean-Florent Ikwange Ibengé
Jean-Florent Ikwange Ibengé

BREAKING🚨 Rasmi Yanga wameachana na mbio za kumsaini Jean-Florent Ikwange Ibengé.

Jina la Ibenge lilikuwa juu kwenye list ya makocha wanao hitajika na yanga ila mazungumzo ya pande zote mbili yamekufa leo baada ya kushindwa kukubaliana baadhi ya vitu muhimu.

Kwa mara nyingine Ibenge hatokuwa kocha wa Yanga❌

By HansRafael

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *