Sadio Mane na Msimu Mgumu Kwake Bayern Munchen, Magoli yake Nane Yakataliwa, Adaiwa Kuwa na Gundu

Sadio Mane na Msimu Mgumu Kwake Bayern Munchen, Magoli yake Nane Yakataliwa, Adaiwa Kuwa na Gundu

Sadio Mane na Msimu Mgumu Kwake Bayern Munchen, Magoli yake Nane Yakataliwa, Adaiwa Kuwa na Gundu

Sadio Mane amekuwa na msimu mgumu tangu ajiunge na Bayern Munchen miezi 12 iliyopita akitokea Liverpool , nyota huyo raia wa Senegal amefunga mabao 7 tu na assist 4 kwenye mechi 22 alizocheza 2022/23

Bahati mbaya zaidi mabao ambayo yamekataliwa ni mengi zaidi ya yaliyokubaliwa

Yamekubaliwa 7 ⚽

Yamekataliwa 8 🚫

Assist 4

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *