Timu ya Marumo Gallants Wagomea Basi Waliloandaliwa na Yanga

Published from Blogger Prime Android AppKikosi cha Marumo Gallants kimewasili alfajiri ya leo na walipofika uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere waligomea kupanda basi maalum lililoandaliwa na wenyeji wao Yanga Sc badala yake wakachukua coaster na kuondoka nayo
Marumo awali walipaswa kuwasili asubuhi ya Jumapili lakini hawakufanya hivyo na badala yake wameingia nchini Alfajiri ya Jumanne
Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *