Haji Manara “Goli la Benard Morrison Funzo Katika Maisha”

Published from Blogger Prime Android App
Ni funzo hata kwenye Maisha ya kawaida, Ukiteleza Simama tena na usikubali kukata tamaa, Usiogope kuzodolewa na Waja unapoteleza.
Ndioooooooooooo, Wote ambao tuliowahi kuzodolewa na kutokubali kushindwa tulifanya hivyo , tuliinuka tukasimama tena kisha tukashinda.
Morrison @bm3gh hafiki mbali na hana kitu 🤪🤪lakini ni Mwanamme halisi wa kiafrika, ametupa somo kubwa jana katika maisha.
Ukishakuwa na Malengo yako usikubali kuangushwa kisha eti ukae kitako, Morrison tusimpe Maua tumpe Asumini zake.
Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *