Max Nzengeli ni Mchezaji Halali wa Yanga Hadi 2027, Apewa Mkataba Mpya
Maxi aliongeza mkataba wa miaka miwili kubaki Yanga,na kila kitu kilikamilika mwezi mmoja uliopita✅
Maxi ni kijani na njano mpaka 2027.
Pacome nae ni kijani na njano hadi 2027.
Max Nzengeli ni Mchezaji Halali wa Yanga Hadi 2027, Apewa Mkataba Mpya
Maxi aliongeza mkataba wa miaka miwili kubaki Yanga,na kila kitu kilikamilika mwezi mmoja uliopita✅
Maxi ni kijani na njano mpaka 2027.
Pacome nae ni kijani na njano hadi 2027.