Hakuna Mtu Yanga Mwenye Pressure Kubwa Kama Gamondi Kisa Kocha Nabi

Published from Blogger Prime Android App
Inawezekana mashabiki wa Yanga wanafurahi lakini hakuna mtu mwenye presh kubwa kama Gamondi kwa sababu mtangulizi wake [Nabi] kafanya vitu vikubwa ambavyo Gamondi anapambana kuvifikia.
Nabi ameondoka akiwa amechukua Ngao ya Jamii, Ligi Kuu ya NBC na Azam Sports Federation Cup, yote hayo amechukua mara mbili mfululizo huku akiwa ameifikisha Yanga kwenye Fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF.
Nabi aliiongoza Yanga kucheza mechi zaidi ya 40 bila kupoteza, kwa hiyo inawezekana vitu ambavyo amevifanya Nabi vikawa vinampa presha kubwa Gamondi.
Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *