Azam Wagomea Offer ya Milioni 509 Kumuuza Prince Dube Al Hilal ya Sudan

Azam Wagomea Offer ya Milioni 509 Kumuuza Prince Dube Al Hilal ya Sudan

Kwa mujibu wa taarifa zinasema kuwa Klabu ya Al Hilal ya Sudan imepeleka ofa ya Dola 200,000 [TZS 509 Million] kwenye klabu ya Azam FC ili kuinasa saini ya mshambuliaji wa klabu hiyo Prince Mpumelelo Dube.

Hata hivyo Azam FC imekikataa kiasi hicho na kudai kuongezwa hadi kufika Dola 300,000 [TZS 764 Million] kama mkataba wake unavyosema ambao utamalizika mwaka 2026. Prince Dube tayari amewaaga mashabiki wa klabu hiyo.
Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *