List ya Wachezaji Watano wa Yanga Waliotajwa Kuwavutia Wasouth Afrika

List ya Wachezaji Watano wa Yanga Waliotajwa Kuwavutia Wasouth Afrika

Yanga SC walisimama imara dhidi ya Mamelodi Sundowns katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini wakapoteza kwa mikwaju ya penalti. Licha ya kushindwa kusonga mbele, lakini wachezaji kadhaa wa @yangasc walionyesha kiwango bora zaidi, wakivutia vilabu vya DStv Premiership.

Kwa mujibu FARPost, jukwaa la habari za michezo la mtandaoni la Afrika Kusini, wamewataja nyota watano wa Wananchi ambao wanaweza kuvivutia zaidi vilabu vya Afrika Kusini na pengine wakasajiliwa huko msimu ujao;

1. Djigui Diarra ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ (Golikipa)

2. Stephane Aziz Ki ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ซ (Kiungo mshambuliaji)

3. Ibrahim Hamad ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (Beki wa Kati)

4. Maxi Nzengeli ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ (Kiungo mshambuliaji)

5. Yahya Mudathir ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (Kiungo)

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *