Timu ya Tabora United Yafanikiwa Kubakia Ligi Kuu, Biashara United Yashuka

Timu ya Tabora United Yafanikiwa Kubakia Ligi Kuu, Biashara United Yashuka

TABORA: Timu ya Tabora United ya Mkoani Tabora imefanikiwa kubaki katika Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kupata ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya BiasharaUnited ya Mara, ambapo jumla ya matokeo ni magoli 2-1 kwa kuwa mchezo wa kwanza Biashara ilishinda goli 1-0
Mchezo huo wa “Play Off” umepigwa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi. Biashara itaendelea kubaki katika Ligi ya Championship msimu ujao wa 2024/25
Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *