Camara Kaibeba Simba Leo, Utulivu na Kujiamini Anapokuwa Kazini

Moussa Pinpin Camara anautulivu, umakini na kujiamini anapokuwa kazini kwake sio golikia wa kawaida hata kidgo kwenye michuano hii mikubwa ya CAF

Leo alikuwa na kiwango kizuri kulingana na namna alivyokuwa anaukontroo mchezo kwa kufanya timu yake iwe na utulivu pale walipokuwa wanashambuliwa..
Moussa Pipin Camara ndyo ‘Quality’ ya Simba sc hii
Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *