TIMU ZILIZOFUZU KUINGIA MAKUNDI CLUB BINGWA CAF CHAMPION LEAGUE

TIMU ZILIZOFUZU KUINGIA MAKUNDI CLUB BINGWA CAF CHAMPION LEAGUE
TIMU ZILIZOFUZU KUINGIA MAKUNDI CLUB BINGWA CAF  

TIMU ZILIZOFUZU KUINGIA MAKUNDI CLUB BINGWA CAF CHAMPION LEAGUE

Ligi ya Mabingwa wa Afrika, maarufu kama CAF Champions League, ni moja ya mashindano maarufu zaidi barani Afrika, yanayohusisha timu bora kutoka mataifa mbalimbali kuwania ubingwa wa bara hili. Msimu wa 2024/2025 umeanza kwa shauku kubwa, huku timu kadhaa zikifanikiwa kupata tiketi ya kushiriki katika hatua ya makundi baada ya mechi kali na zenye ushindani mkubwa. Hapa Habariforum tutakuletea orodha kamili ya vilabu vyote vitakavyojipatia tiketi ya kushiriki hatua ya Makundi katika michuano ya klabu bingwa ya CAF.
  • CR Belouizdad ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ
  • TP Mazembe ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ
  • AS Maniema ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ
  • Al Ahly ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ
  • Mamelodi Sundowns ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ
  • Orlando Pirates ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ
  • ES Tunis ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ
  • Pyramids FC ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ
  • MC Alger ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ
  • Raja Club Athletic ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ
  • GD Sagrada ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ดDjoliba AC ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ
  • Stade dโ€™Abidjan ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ
  • Young AFricans Sc ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Hongera YANGA SC kwa kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *