Fiston Mayele “Wakati Nasign Yanga Nilikuwa Sijui Kingereza, Mkataba Wangu Ulikuwa Mbovu”
“Mkataba wangu wa kwanza Yanga haukuwa mzuri nilikuwa hata siwezi kuondoka, nilikuwa sijui kingereza, meneja wangu nae hajui kingereza anacheka cheka tu na viongozi, mkataba ulikuwa mgumu, mimi nimesaini tu…